![]() |
copyrightburundi sport |
Wachezaji wa Le Messager Ngozi waliingia kucheza dhidi ya KVZ ya Zanzibar leo tarehe 18, Feb wakiwa na tahadhari kubwa huku wakijiamini kuwa bao moja pekee waliofunga mechi ya kwanza inaweza kusababbisha kufuzu raundi ya pili.
Kupitia mchezaji Enock Nsabumukama ambaye alikua mzuri katika mchezo wa leo kama wa awali, klabu ya le Messager kutoka Republic of Burundi ilimiliki mpira kiasi kikubwa na ushambulizi wa kusisimua zaidi.
Mchezo umekuja kuwa kubwa zaidi kwenye dakika 27 na klabu ya Le Messager ikafanikisha kutumia mda huwo kwa kupata bao lao la kwanza kupitia mchezaji wao Yusuf Malouda kwa kicwa kufuatia kona nzuri la mchezaji Enock.
Katika dakika 34' mshambuliaji wa Messager Idi Muselemu alipoteza nafasi nzuri akiwa uso kwa uso na kipa wa KVZ ata hivyo wachezaji wa Le Messager wameakikisha wamethibiti mchezo na kwenda kupumzika wakiongoza kwa bao 1-0.
Katika kipindi cha pili wachezaji wa Le Messager walidi kumiliki na kuitambia KVZ mpaka dakika lxxx mshambuliaji Idi Muselemu na Ali Fataki Intelligent waliivamia KVZ na kuzidiwa kwa kutoa sadaka kwa mshambuliaji hatari sana Idrissa Ramadhan ambaye alifungia timu yake bao la pili kwa kicwa.
Mwamuzi alionseha dakika four za ziada katika mchezo huu, katika dakika la 91 ya mchezo, Enock alizidi kuitambia KVZ na kujaribu kufunga bao bila mafanikio ndipo kocha alifanya mabadiliko na kumuweka Olivier Bayizere ambaye alifankisha kutumia mda wake mdogo na kuifungia timu yake bao la mwisho la 3.
basi imekuwa shangwe na furaha kwa wapenzi wa soka nchini Republic of Burundi kwa kuona timu ya Le Messager imeonesha kiwangu kizuri mwanzo wa mechi mpaka mwisho na kufanikisha ndoto yawo ya kufuzu hatua ya kwanza la Kombe la Shirikisho kwa bao 3-0.