Mrembo huyo mwenye asili ya kimasai kutoka Arusha amefunguka hayo nilipoongea naye but hivi karibuni kwa kudai kuwa hajapewa zawadi zake mpaka leo ikiwemo gari na kiasi fulani cha fedha na ndio yupo anafuatilia kwa sasa.
Diana alimalizia kwa kusema kuwa kwa sasa inamlazimu kutumia taxation na bodaboda kufanyia mizunguko yake ya kila siku .
Msikilize Diana hapo juu.
Tag :
lainnya