Download Mp3 from African

Rais za zamani wa Cuba, Fidel Castro afariki dunia

Rais wa zamani wa Republic of Cuba na kiongozi wa mapinduzi ya kikomunisti, Fidel Castro amefariki akiwa na umri wa miaka 90, mdogo wake Raul ametangaza.
Rais
Amefariki usiku wa saa nne na dakika 22, kwa mujibu wa Rais Raul Castro.
Fidel Castro aliiongoza Republic of Cuba kama nchi ya chama kimoja kwa takriban miaka l kabla ya Raul kushika madaraka mwaka 2008.
Mazishi yake yanafanyika Jumamosi hii kwa mwili wake kuchomwa moto. Kutakuwepo na siku kadhaa za maombolezo ya nchi nzima.
Tag : lainnya
Back To Top