Wakati wauza unga wakihaha kutafuta sehemu za kujificha kuukwepa moto wa mkuu wa mkoa wa Dar, Paul Makonda, siku za mashoga vinara nazo zimeanza kuhesabika.
Vita dhidi ya mashoga hao imetangazwa na Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, medico Hamis Kingwangala, jana.
“Naagiza James Delicious, Kaoge Mvuto na Dani Mtoto wa Mama wafike wenyewe Central Police Dar es salaam kwa mahojiano kabla hawajatafutwa,” aliandika kwenye Twitter.
Mashoga hao ni maarufu kwenye mitandao ya kijamii na wamejikusanyia mashabiki wengi.
Vita dhidi ya mashoga hao imetangazwa na Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, medico Hamis Kingwangala, jana.
“Naagiza James Delicious, Kaoge Mvuto na Dani Mtoto wa Mama wafike wenyewe Central Police Dar es salaam kwa mahojiano kabla hawajatafutwa,” aliandika kwenye Twitter.
Mashoga hao ni maarufu kwenye mitandao ya kijamii na wamejikusanyia mashabiki wengi.
Tag :
lainnya