Download Mp3 from African

New Audio Coming soon, Baada ya kupata tuzo la Sanistar Award anatarajia kuja na ujio mpya

Msanii wa muziki wa Burundifleva A-Z baada ya kupata tuzo ya Sanistar Award kupitia wimbo wake Jeux de Passe pia aliteuliwa kama mwanamuziki bora mjini kati katika mashindano hayo.
Msanii huyo anatarajia kuachia wimbo wake mpya itakayobeba jina la Nyange katika Studio Master Music chini ya mikono ya producer pia mwanamuziki MasterLand ambae ndie producer wake.

Hii hapa wimbo  Jeux de Passe iliyoteuliwa kama wimbo bora katika mashindano ya Sanistar Award.
Back To Top