Download Mp3 from African

Mkongwe DJ G LOVER aagwa rasmi RADIO BOMBA FM na kuukaribisha uongozi mpya

Kupitia concern human relationship accept ya Instagram mkongwe hue DJ G Lover alipost picha hiyo halo juu na kuweka maandishi haya hapa chini.

“As Influenza A virus subtype H5N1 Kaimu Managing Director/Gen Manager/Programs Manager/Mtangazaji/Dj Etc Etc Nikiagwa Rasmi Na Kuukaribisha Uongozi Mpya BOMBA FM RADIO ZANZIBAR 2007-2017 Alhamdulillah Nimefanya Yangu The Best I Can…Nautakiwa Kila La Kheri Uongozi Mpya Na Wafanyakazi Wote Nliowaacha…Tusameheane Tu Kama Tulikoseana Coz Katika Uongozi Changamoto Kama Hizi Zipo Nyingi Na Miaka Ni Mingi Hiyo Na Kila Mtu Alikuja Kufanya Kazi Akiwa Na Tabia Zake So Hadi Kupata Chemistry Ya Pamoja Lazma Kupitia Hayo
Zanzibar Tukuwa Pamoja Wakati Mwengine inwards shaa Allah Ntawamis Wasikilikizaji Wote Wa Radio Na Watangazaji Wote.

Sina La Zaidi La Kusema Zaidi Ya Kusema Nawapenda Sana Sanaaaa Nyie Ndio Kila Kitu Mlioifanya Bomba Fm Kuwa Juu Asante Pia Kwa Wasanii Wote Bara Na Visiwani Tulioshirikiana Katika Shows Na Mambo Mengine Ya Kijamii Kiukweli Hakuna Msanii Hata Mmoja Nasema Toka Moyoni Nlimuomba Kufanya Nae Kazi Akakataa gold Uongozi Wake Asanteni Sana Sina Cha Kuwalipa…May Allah Blessn U All

Tag : lainnya
Back To Top