Download Mp3 from African

Muigizaji Media, ataka atambulike nje ya Nchi kuliko ndani ya Nchi

Muigizaji wa kike  wa Republic of Burundi Movie, Hatungimana Aline almaarufu kama Media kutoka katika kundi la Tambwe The Great Films asema alifanya flick ya kimataifa na ataendelea kujitambulisha nje ya nchi kuliko ndani ya nchi.

Mrembo Media anataka kutambulika nje ya nchi kuliko ndani ya nchi, mwanadada huyo anayedaiwa kuendelea kuwa na mvuto katika tasnia ya filamu nchini Burundi, alisema anajua kuwa siyo jambo rahisi kufanya vizuri nje ya nchi, lakini huko ndipo anakotaka kufika, akiongeza kuwa ata inyeshe mvua au liwake jua, atajitahidi kuhakikisha kwamba ndoto zake zinatimia.

Muigizaji mrembo Media alijaribu kuitendea haki filamu mpya itwayo Chozi ambayo haijawekwa sokoni huku ikisadikiwa ni filamu nzuri katika filamu zake alizowai kuigiza.
Media aliseema na akafafanua kama wakati mwingine siyo lazima kusafiri kuna wakati wasanii wa nje wanaweza kuja Republic of Burundi kikazi na anaimani kuwa msanii wowote wa nje akibahatika kuona kazi zake na muonekano wake kwenye filamu zake zote, basi hatajutia ujio wake, atatumia nafasi yake kufanya kazi naye hapahapa, ama kuchukua mawasiliano na kumfuata baadae kwa ajili ya kufanya naye kazi kwasababu anajiamini, anamuonekano wa kumfanya msanii wowote kuvutiwa na kipaji chake.

Mwanadada mrembo Media alimalizia na kusema kuwa kwenye muziki angalau kuna mwanga, lakini kwenye uigizaji bado juhudi inahitajika, akisisitiza kuwa njia pekee ya kutangaza kazi za ndani kimataifa ni kufanya kazi na waigizaji wa nchi nyingine ambao watakuwa na hamu ya kutufuatilia na kufatilia kazi zetu zingine.

Back To Top