Alikiba ameelezea kusikitishwa kwake na Watanzania wanaomtukana staa wa Nigeria, Wizkid kwenye akaunti yake ya Instagram. Kiba amesema anaamini wale wanaomtukana si mashabiki wake kwakuwa mashabiki wake wa ukweli wanajua jinsi anavyomkubali Wiz.

Ali amesema yeye ni shabiki mkubwa wa Wizkid na amemsihi kuwapuuza watu hao wanaomtukana.
“I am non happy amongst what has been going on, on social media . I convey a slap-up appreciation for @wizkidayo equally a beau creative soul too equally a fan . I am real disappointed too saddened past times the insults too attacks directed at him, too I desire to survive real clear that I condemn this conduct too I believe none of my truthful fans are role of this irrational silliness too stupidity equally they know I convey ever had dear for @wizkidayo,” ameandika Kiba.
“Drown out the dissonance from the haters bro, congratulations on your real successful year. Much dear from my existent fans too from Tanzania.”
Mambo yote hayo yamekuja baada ya MTV EMA kumnyang’anya tuzo Wizkid aliyokuwa ametangazwa kushinda na kumpa Alikiba.
Ali amesema yeye ni shabiki mkubwa wa Wizkid na amemsihi kuwapuuza watu hao wanaomtukana.
“I am non happy amongst what has been going on, on social media . I convey a slap-up appreciation for @wizkidayo equally a beau creative soul too equally a fan . I am real disappointed too saddened past times the insults too attacks directed at him, too I desire to survive real clear that I condemn this conduct too I believe none of my truthful fans are role of this irrational silliness too stupidity equally they know I convey ever had dear for @wizkidayo,” ameandika Kiba.
“Drown out the dissonance from the haters bro, congratulations on your real successful year. Much dear from my existent fans too from Tanzania.”
Mambo yote hayo yamekuja baada ya MTV EMA kumnyang’anya tuzo Wizkid aliyokuwa ametangazwa kushinda na kumpa Alikiba.
Tag :
lainnya