Siku moja baada ya mkuu wa wilaya Morogoro Regina Chonjo kuzuia matumizi ya bwawa la mindu kwa madai kwamba chanzo hicho cha maji kina vimelea vya kipindupindu, diwani wa kata ya Mindu, Hamis Msasa amepingana na maamuzi hayo na kuruhusu wananchi kutumia maji ya bwawa hilo kwa matumizi yao ya kawaida .
Akiongea na channel x diwan wa kata ya mindu Hamisi Msasa amesema kuwa kusimamishwa kwa shughuli za kibinadamu ikiwemo uvuzi imekuwa kero kubwa kwa wananchi wake hasa wakina mama wanaotegemea chanzo hicho kwa matumizi ya maji huku wananchi hao wakida kuwa shughuli zote zinazofanyika katika bwawa hilo zipo kiharali na wamekuwa wakilinda chanzo hicho zidi ya waharamia na kumutaka mkuu wa wilaya kufanya mazungumuzo na wananchi kabla ya uamuzi ambao unaweza kuwaasili .
Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya morogoro mjini Regina Chonjo amesema kuwa kutokana na hari iliyopo ya dalili za ugonjwa wa kipindu pindu hataweza kuruhusu bwawa hilo litumike mpaka pale watakapo jilizisha kuwa hali imetengamaa kwani katika utafiti uliofanyika asilimia kubwa ya maji ya bwawa la mindu yana chembechembe ya kuambukiza magonjwa ya tumbo.
Akiongea na channel x diwan wa kata ya mindu Hamisi Msasa amesema kuwa kusimamishwa kwa shughuli za kibinadamu ikiwemo uvuzi imekuwa kero kubwa kwa wananchi wake hasa wakina mama wanaotegemea chanzo hicho kwa matumizi ya maji huku wananchi hao wakida kuwa shughuli zote zinazofanyika katika bwawa hilo zipo kiharali na wamekuwa wakilinda chanzo hicho zidi ya waharamia na kumutaka mkuu wa wilaya kufanya mazungumuzo na wananchi kabla ya uamuzi ambao unaweza kuwaasili .
Kwa upande wake mkuu wa wilaya ya morogoro mjini Regina Chonjo amesema kuwa kutokana na hari iliyopo ya dalili za ugonjwa wa kipindu pindu hataweza kuruhusu bwawa hilo litumike mpaka pale watakapo jilizisha kuwa hali imetengamaa kwani katika utafiti uliofanyika asilimia kubwa ya maji ya bwawa la mindu yana chembechembe ya kuambukiza magonjwa ya tumbo.
Tag :
lainnya
