Watu zaidi ya l waripotiwa kufariki katika shambulizi la kujitoa muhanga limelotekelezwa nchini Nigeria.
Katika shambulizi hilo watu wengine thirty wameripotiwa kujeruhiwa.
Shambulizi hilo limetekelezwa karibu la soko linalopatikana Madagal.
Taarifa zinatuhumu kundi la wanamgambo wa Boko Haram kuhusika na shambulizi hilo.
Madagal ni eneo ambalo jeshi la Nigeria liliwaondoa wanamgambo wa Boko haram mwaka 2014.
Mwaka 2015 wanamgambo hao walishambulia basi Desemba na kuwauawa watu 30.
Katika shambulizi hilo watu wengine thirty wameripotiwa kujeruhiwa.
Shambulizi hilo limetekelezwa karibu la soko linalopatikana Madagal.
Taarifa zinatuhumu kundi la wanamgambo wa Boko Haram kuhusika na shambulizi hilo.
Madagal ni eneo ambalo jeshi la Nigeria liliwaondoa wanamgambo wa Boko haram mwaka 2014.
Mwaka 2015 wanamgambo hao walishambulia basi Desemba na kuwauawa watu 30.
Tag :
lainnya