Download Mp3 from African

Eric Bailly atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili

Mchezaji wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya Ivory Coast, Eric Bailly atakuwa nje ya uwanja kwa miezi miwili baada ya kuumia goti.


Mchezaji
Bailly atakapo rejea uwanjani baada ya miezi hiyo miwili, huenda akaenda kujiunga na timu yake ya taifa katika michuano ya AFCON.
Tag : lainnya
Back To Top