Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga Hans van der Pluijm ameandika barua ya kujiuzulu kuifundisha klabu hiyo ya Jangwani taarifa hiyo ilitoka kupitia katika mtandao wake wa instagram.
Uongozi wa Yanga SC umepokea barua ya Mwalimu Hans yakujiuzulu kwake na kukubaliana na hatua yake hiyo aliyoifikia
Uongozi unatambua mchango wake mkubwa kwa klabu yetu lakini hauna budi kukubaliana na maamuzi yake hayo.
Uongozi unamtakia maisha mema uko aendako na Yanga ni kama nyumbani kwake anakaribishwa muda wowote na siku yeyote ile.
Uongozi wa Yanga SC umepokea barua ya Mwalimu Hans yakujiuzulu kwake na kukubaliana na hatua yake hiyo aliyoifikia
Uongozi unatambua mchango wake mkubwa kwa klabu yetu lakini hauna budi kukubaliana na maamuzi yake hayo.
Uongozi unamtakia maisha mema uko aendako na Yanga ni kama nyumbani kwake anakaribishwa muda wowote na siku yeyote ile.
Tag :
lainnya