Kundi nzima la H-TAG ikishirikiana na mkali wa Mpikibanza, Double Jay wameachia nyimbo mpya itwayo Don't Let me Down chini ya mikono ya producer mahiri Master Land pande za Master Music Studio.
Tumewasogezeeni nyimbo nzuri sana hii..... endapo utapendelea nawe kazi zako zipatikane hapa wasiliana nasi kwenye namba +257 75707305
Tumewasogezeeni nyimbo nzuri sana hii..... endapo utapendelea nawe kazi zako zipatikane hapa wasiliana nasi kwenye namba +257 75707305