Beki wa Hispania amehakikishia dunia nzima kama kombe la dunia nchini Urusi itakuwa ndio mashindano ya mwisho kwake akivalia jezi ya Roja.
"inanisumbua sana wakati huu katika timu ya taifa, nimeamua kombe la dunia nchini Urusi itakuwa ni mashindano yangu ya mwisho na natumaini nitaishi na tamaa ya kurejea ila nimeamua". alisema Gerard Pique
Mwenye umri wa miaka 31, Beki wa Blaugrana alicheza mchezo wake wa kwanza na Roja, Februari 2009, akiwa na umri wa miaka 22 na alichaguliwa mara 84 huku akibahatika kufunga bao v pekee.