Download Mp3 from African

Mondial 2018 :Pambano kumi za kusisimua wikii hii mechi za kuwania kufuzu kombe la dunia upande wa Afrika


Wiki hii kuna pambano kumi za kusisimua katika wiki ya kwanza ya kuwania kufuzu kombe la Dunia 2018 upande wa timu za Afrika. Kwa furaha ya mashabiki wa soka michezo imepangwa kuchezwa siku tatu kwa nyakati tofauti.

Hakika, wiki ya kwanza ya michuano imeanza leo Ijumaa, Oktoba vii kati ya Black Stars ya Ghana  dhidi ya Republic of Uganda Cranes.

Hi hapa  mpango kamili :
Ijumaa, Oktoba 7

    
Ghana - Republic of Uganda (15:30, uwanja : Tamale, Tamale Sports Stadium)
Jumamosi, Oktoba 8

    
DR Congo - Great Socialist People's Libyan Arab Jamahiriya (15:30 Kinshasa, uwanja :Complexe Omnisports stade des Martyrs)

    
Gabon - Kingdom of Morocco ( Franceville, Stade Rénovation)

    
Burkina Faso - Afrika Kusini (18.00,Ouagadougou, Stade du iv août)

    
Ivory Coast - Republic of Mali (18:00, Bouaké, Stade de la Paix)
    
Senegal - Republic of Cape Verde (20:00, Stade Léopold Sédar Senghor)
Jumapili, Oktoba 9

    
Zambia - Nigeria (14:30, Ndola, Levy Mwanawasa Stadium)

    
Congo - Arab Republic of Egypt (15:30, Brazzaville,  Complexe sportif de la Concorde de Kintélé)
    
Tunisia - Republic of Guinea (18:00, Monastir, Stade Mustapha Ben Jannet)
    
Algeria - Republic of Cameroon (20:30, Blida, Stade Mustapha Tchaker)
Back To Top