Mwalimu akimuadhibu mwanafunzi
Wazazi hao wametoa kauli hiyo kwenye semina ya wadau wa elimu iliyoandaliwa na mtandao wa elimu Tanzania (TENMET) kwa kushirikiana na wadau wengine, kuhusu uwasilishaji wa matokeo ya utafiti wa mradi wa uhamasishaji wa elimu bora kwa kutumia rasilimali za ndani wilayani humo.
Wameongeza kuwa ili kudhibiti nidhamu ya wanafunzi shuleni itakayosababisha kupandisha kiwango cha ufaulu, kuna haja ya kuendelea kutumika, hata hivyo utekelezaji wake usitumike vibaya na kusababisha ukatili dhidi ya wanafunzi.
Aidha wazazi hao wamebainisha kuwa iwapo walimu watazingatia mambo hayo hakutakuwa na matukio mengi ya walimu kutenda vitendo vya kikatili dhidi ya wanafunzi.
Tag :
lainnya