Harmonize aliyasema hayo kwenye kipindi cha Ngaz’ kwa Ngaz’ kinachoruka kupitia EATV alopulizwa alipata wapi uzoefu wa kuendesha pikipiki kubwa ya BMW wakati ana shoot video yake ya Bado.
“Mwaka 2011,mimi nimeshawahi kuwa dereva boda boda,nimeendesha sana pikipiki kwa hiyo nina experience,nilikuwa napakia abiria kujipatia riziki.” alifunguka Harmonize
Tag :
lainnya