Msanii wa muziki wa Burundifleva, Black Arthur mwenye makazi yake nchini Kenya, afunguka kuhusu post kwenye ukurasa wa Facebook ya management yake Akaga Video, ikidai kuwa mwanamuziki kongwe Cedrick Bangi ni shoga na kila mtu afahamu hilo.
Black Arthur ambae anazidi kutamba na kibao ''My Lover'', aliifungukia Africanmishe na kusema kuwa Cedrick Bangi ndie ameanza kuingilia management yake na ndio sababu ya kamati nzima ya Akaga Video kuamua ku postal service maneno mazito hayo.
Alipoulizwa kuhusu postal service yakumchafua mwanamuziki Cedrick Bangi kama nishoga, kwa upande wake anaichukuliaje, alifunguka na nakusema kwamba
Hiyo ni kweli ata Republic of Burundi wanafahamu kama Cedrick Bangi ni shoga na kila mtu anafahamu na wanashuhudia mahali pote akishikwa shikwa na wanaume kwenye bar na mahali pote kama wewe (Mwandishi wa Mishe Mishe) haufaham ila ndio ukweli cedrick bangi nishoga, akisistiza Black Arthur.
Baada ya kukubaliana na management yake kwa kumchafua Cedrik Bangi kama ni shoga, Black Arthur amejitetea kwa kanusha kumtukana msanii mwenzie na kusema
Mi sijamtukana Cedrick Bangi na kwanza na muheshimu sana pia na wasanii wote, mimi niko bize na mambo yangu kwasababu kwasasa nazidi kutia nguvu zangu zote katika kazi zangu. sina bifu na mtu na sijatukana mtu. sina ujumbe wowte kwa Bangi labda Timu yangu inaweza kuwa na ujumbe kwasababu ndio iliyoposti maneno hayo ila ukweli unazungumzwa, aliongeza Black Arthur.
