Download Mp3 from African

DEAL DONE: Kaseja asaini mkataba Kagera Sugar

 Golikipa wa zamani wa Simba, Yanga na timu ya taifa ya Tanzania Juma Kaseja amesaini mwaka mmoja kuitumikia klabu ya Kagera Sugar ya mjini Bukoba inayoshiriki ligi kuu Tanzania bara.

Kagera imemnasa beki pia beki wa zamani wa Simba na JKT Ruvu Mohamed Faki ambaye pia amesaini mkataba wa mwaka mmoja.
Tag : lainnya
Back To Top