Mchezaji huyo ambaye ana miaka 22 aliumia baada ya kukabiliana na Eden Hazard wa Chelsea.
ALiondolewa uwanjani dakika ya 52.
“Nina wasiwasi kwamba ni jeraha baya,” meneja wa United Jose Mourinho alisema. “Ameumia kwenye goti, eneo lenye kano. Anahisi kwamba ni jeraha baya sana.”
Bailly amechezea United mechi zote walizocheza msimu huu katika mechi za ligi.
Tag :
lainnya