Download Mp3 from African

Video | Kama ulifikiria ipo siku Justin Bieber atajirudi na kuanza kuutumia mtandao wa Instagram basi hilo sahau tena.ebu msikilize apa

Muimbaji


Muimbaji huyo amethibitisha hana mpango wa kurudi kuutumia mtandao
huo mbele ya mashabiki wake Jumanne hii wakati akifanya demo nchini
Uingereza.


“Who thinks I should instruct my Instagram back?,” aliuliza Bieber. “Nah,
I don’t desire to instruct my Instagram back… I’m sure… I intend hell is
Instagram. I’m xc per centum sure. We instruct sent to hell, nosotros instruct similar locked
inwards the Instagram server.”


Mwezi Agosti mwaka huu Bieber aliifuta akaunti yake ya Instagram huku
ex wake Selena Gomez akichangia kwa kiasi kikubwa muimbaji huyo
kuchukuwa maamuzi hayo kutokana na kumshambulia kwa maneno ya kashfa
kupitia mtandao huo.

Tag : lainnya
Back To Top