Ofisi ya kampuni ya Google iliyoko London Uingereza
Kampuni ya mawasiliano ya Google inafungua makao yake makuu jijini London nchini Uingereza hatua ambayo itatengeneza ajira 3000 mpaka ifikapo mwaka 2020.
Mkurugenzi mtendaji wa Google, Sundar Pichai, ameliambia shirika la utangazaji la Uingereza BBC kuwa Uingereza bado ni sehemu sahihi kwa uwekezaji.
Amesema kufungua kwa mipaka na uingiaji huru kwa wahamiaji wenye ujuzi ni suala muhimu kwa mafanikio ya tekinolojia nchini Uingereza.
Tag :
lainnya